Uncategorized

HARUNA NIYONZIMA WA YANGA APATA AJALI

admin November 20, 2020 7:47 am

 


NYOTA wa kikosi cha Yanga, Haruna Niyonzima taarifa zinaeleza kuwa amepata ajali akiwa na mke wake nchini Rwanda wakati gari alilokuwa akiendesha kupata ajali wakati akimkwepa mwendesha baiskel katika eneo la Nyamata, wilaya ya Buswgwra.

Baada ya kumkwepa mwendesha baiskeli huyo alilivaa lori lililokuwa pembeni.


Taarifa zinaeleza alikuwa na mke wake wa pili na hajapata majeraha mchezaji huyo anayeitumikia timu ya Yanga kwa Tanzania pamoja na timu yake ya Taifa ya Rwanda.

MSUVA ATAJA SABABU ZITAZOMFANYA AANZE KIKOSI CHA KWANZA CASABLANCA SAKATA LA BERNARD MORRISON NA YANGA LAIBULIWA UPYA KABISA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply