Home Uncategorized SIMBA YAINGIA ANGA ZA KIMBA WA ZAMBIA

SIMBA YAINGIA ANGA ZA KIMBA WA ZAMBIA

0

 


IMEELEZWA kuwa Toaster Nsabata kipa wa Klabu ya Zanaco FC ameingia Kwenye rada za Simba.


Nyota huyo ana miaka 27 ana urefu wa cm 183  amecheza pia Klabu ya Nchanga Rangers msimu wa 2016.