Uncategorized

NYOTA YANGA AIBUKIA IHEFU FC

admin December 15, 2020 10:47 am

 


KIUNGO 
mshambuliaji wa Klabu ya Yanga Juma Mahadhi amepekwa kwa mkopo ndani ya Klabu ya Ihefu FC inayonolewa na Kocha Mkuu Zuber Katwila.


Mahadhi alirejea kikosini mwanzoni mwa msimu baada ya kuwa nje kwa zaidi ya mwaka mmoja na nusu akiuguza majeraha ya goti


Kutokana na ushindani wa namba kwenye kikosi cha Yanga, imekuwa changamoto kwake kupata nafasi kwa Cedri Kaze.


Meneja wa mchezaji huyo Godlisetn Anderson, amethibitisha kuwa Mahadhi ataitumikia Ihefu Fc kwa miezi sita


SIMBA NI CHAMA NA BOCCO TU..!! SIMBA NA YANGA KUKIPIGA MBELE YA RAIS MWINYI

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6260

Leave a Reply