Uncategorized

RASMI,MANULA NA BOCCO KUIKOSA FC PLATINUM

admin December 22, 2020 12:47 pm


SVEN Vandenbroeck amesemakuwa nyota wawili ambao ni John Bocco nahodha wa timu na kipa namba moja Aishi Manula watakosekana kwenye mchezo wa kesho wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya FC Platinum ya Zimbabwe. 


Sven amesema:-“Tunamasaa machache kabla ya mchezo, tumejaribu kila kitu ili wawe tayari kwa mchezo lakini itakuwa ngumu kuwa tayari. 

“John [Bocco] bado yupo kitandani hayupo sawa, Aishi aliumia mchezo uliopita na anaweza kuchukua wiki au zaidi ili kuwa sawa. Mpaka sasa kuna uwezekano asilimia 50 ya kuwepo kwenye mchezo.”


Ikiwa Manula hatakuwa fiti mpaka kesho mikoba yake  anaweza kuchukua Ally Salim ama Beno Kakolanya. 

VIBALI VYAMKWAMISHA MKATA UMEME SIMBA DODOMA JIJI YAZITAKA POINTI TATU ZA MTIBWA SUGAR

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply