Uncategorized

AZAM FC YAWAITA MASHABIKI AZAM COMPLEX KUONA BURUDANI

admin December 26, 2020 1:47 pm


UONGOZI wa Azam FC umesema kuwa upa tayari kwa mchezo wa leo wa Kombe la Shirikisho hatua ya tatu dhidi ya Magereza FC.


Mabingwa watetezi wa taji la Kombe la Shirikisho ni Simba ambao walitwaa msimu wa 2019/20 mikononi mwa Azam FC ambayo haikuambulia taji lolote.

Leo, Desemba 26 inawakaribisha Magereza Uwanja wa Azam Complex saa 1:00 usiku.

Akizungumza na Saleh Jembe, Ofisa Habari wa Azam FC, Zakaria Thabit amesema kuwa maandalizi yalianza Deemba 23 hivyo leo wanakamilisha kazi ambayo walikuwa wanahitaji kuifanya.

“Maandalizi yalianza muda mrefu na leo tunaamini kwamba vijana wetu watafanya kile ambacho tulikuwa tunahitaji kukifanya.

“Mashabiki wajitokeze kwa wingi ndani ya uwanja kuipa sapoti timu yao kwani unapigwa mpira mwingi na matokeo yataonekana,” .
MSHAMBULIAJI YANGA ATAMBA KUFUNGA MABAO KISA SAIDO LEICESTER CITY YATOSHANA NGUVU NA UNITED

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply