Uncategorized

MRITHI WA MIKOBA YA KATWILA ATOA LA MOYONI

admin December 29, 2020 1:47 pm


 KOCHA wa Mtibwa Sugar, Hitimana Thiery amesema kuwa timu aliyopo kwa sasa ina historia kubwa na anaamini kwamba itarejea kwenye ubora.

Thiery amechukua mikoba ya Zuber Katwila ambaye ameibukia ndani ya Ihefu  baada ya kubwaga manyanga ndani ya kikosi hicho.

Pia timu yake ya zamani ya Namungo ambayo alikuwa anaifundisha Thiery ipo chini ya Hemed Morroco.

Akizungumza na Saleh Jembe, Thiery amesema:”Nipo huku na maisha yanakwenda kwani kazi ni kazi kikubwa ni kufanya kwa juhudi.

“Unapozungumzia Mtibwa Sugar ni moja ya timu kubwa na bora hivyo bado tunapambana kufanya vizuri,” . 

NYOTA KMC AOMBA KUSEPA NDANI YA KIKOSI ISHU YA MORRISON KUTAKIWA KULIPA MKWANJA KESI YAKE CAS YALETA KIGUGUMIZI

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply