Uncategorized

SIMBA YATOA TAMKO KUHUSU JONAS MKUDE

admin December 29, 2020 12:47 pm

 


KOCHA wa zamani wa Klabu ya Simba, Jamhuri Khwelu maarufu kama Julio amesema kuwa suala la nidhamu kwa mchezaji ni jambo la msingi.


Maneno hayo ameyasema ikiwa ni baada ya kiungo wa Simba, Jonas Mkude kusimamishwa ndani ya kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Mkuu, Sven Vandenbroeck.


Mkude amesimamishwa kwa muda kupisha uchunguzi wa tuhuma ambazo anatajwa kukutwa nazo za utomvu wa nidhamu.

“Nidhamu ni jambo la msingi kwa kila mchezaji hivyo ni ngumu kwa mafanikio ndani na nje ya uwanja kupatikana hivyo kwa walichokifanya Simba naona ni sawa japo ni maamuzi magumu,” . 

AZAM FC YASAKA MAJEMBE MENGINE MAWILI YA KAZI NYOTA KMC AOMBA KUSEPA NDANI YA KIKOSI

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply