UONGOZI wa klabu ya Simba umemtambulisha rasmi Mfaransa Didier da Rosa kuwa kocha mkuu wa kikosi hicho mara baada ya aliyekuwa kocha wa kikosi hicho Sven Vandenbroeck kuachia ngazi Januari 7, mwaka huu.
UONGOZI wa klabu ya Simba umemtambulisha rasmi Mfaransa Didier da Rosa kuwa kocha mkuu wa kikosi hicho mara baada ya aliyekuwa kocha wa kikosi hicho Sven Vandenbroeck kuachia ngazi Januari 7, mwaka huu.