Simba SC

SIMBA YATINGA MAKAO MAKUU,DODOMA,KUIBUKIA BUNGENI

admin February 3, 2021 5:47 am

KIKOSI cha Simba kinachonole na Kocha Mkuu, Didier Gomes na msaidizi wake Seleman Matola leo kimewasili salama makao makuu ya nchi Dodoma.

Jana wachezaji walilipoti kambini baada ya kupewa mapumziko ya siku moja baada ya kukamilisha kusepa na taji la Simba Super Cup Januari 31, Uwanja wa Mkapa.

Leo watakwenda pia Bungeni kwa ajili ya kupewa baraka na Wabunge kuelekea Kwenye mechi za Ligi ya Mabingwa Afrika ambapo Februari 12 kitacheza na AS Vita ya Congo.

Kesho Uwanja wa Jamhuri Dodoma kitakuwa na mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Dodoma Jiji.

SABABU YA YANGA KUFUNGIWA NA FIFA HII HAPA MANCHESTER UNITED YAMPIGA MTU 9-0

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply