news

MAMLAKA YA ANGOLA YADAI KUWA WACHEZAJI WATATU NA KIONGOZI MMOJA ANA CORONA

admin February 13, 2021 7:47 am


 KIKOSI cha Namungo FC kimezuiliwa uwanja wa ndege wa kimataifa wa Luanda, nchini Angola baada ya mamlaka kudai wachezaji watatu na kiongozi mmoja wana virusi vya Corona.


Mpaka wakati wa kuandika taarifa hii timu ipo uwanja wa ndege huku utata ukitawala kutokana na mamlaka za nchi hiyo kutaka msafara mzima ama urudi Tanzania au uende karantini.

Namungo ipo Angola kwa ajili ya kuchuana na Clube Desportivo 1ยบ de Agosto katika mechi ya Kombe la Shirikisho.

Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa kesho, Februari 14 na kikosi kilikwea pipa jana kikiwa na msafara wa wachezaji 22 pamoja na viongozi.

CHELSEA NA LIVERPOOL ZAVURUGWA, KISA DAYOT BAADA YA KUMALIZANA NA AS VITA KITUO KINACHOFUATA NI AL AHLY

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply