Home Yanga SC MITAMBO HII YA MABAO NI MWENDO WA NNENNE

MITAMBO HII YA MABAO NI MWENDO WA NNENNE

NAMBA nne ndani ya Ligi Kuu Bara, msimu wa 2020/21 imekuwa ni pendwa kwa wachezaji wengi ambao wamefungua akaunti zao za mabao.

Wangu wametupia mabao mannemanne yanayowafanya wafikirie kusepa mahali hapo kutimiza malengo ambayo wamejiwekea kwa msimu huu.

Hii hapa orodha ya wazee wa kutupia nnenne ndani Ligi Kuu Bara:-


SOMA NA HII  KOCHA AWAAMBIA YANGA KUNA KIONGOZI ANAWAHUJUMU