Mechi ya kwanza nyumbani nayo ilishinda 2-0.Sasa kuelekea mchezo huo wa leo, kila upande unatamba kwamba utamnyoosha mwenzake ambapo Kocha Mkuu wa Coastal Union, Juma Mgunda, amesema: “Tumejipanga vizuri kukabiliana na Yanga na kuzichukua alama zote tatu na kuacha heshima nyumbani.“Tunataka kuwa timu ya kwanza kuifunga Yanga msimu huu.
PICHA NA Lunyamadizo Mlyuka