Home Ligi Kuu KINACOENDELEA UWANJA WA MKWAKWANI TANGA MUDA HUU – PICHA

KINACOENDELEA UWANJA WA MKWAKWANI TANGA MUDA HUU – PICHA

 

 
 Mechi ya kwanza nyumbani nayo ilishinda 2-0.Sasa kuelekea mchezo huo wa leo, kila upande unatamba kwamba utamnyoosha mwenzake ambapo Kocha Mkuu wa Coastal Union, Juma Mgunda, amesema: “Tumejipanga vizuri kukabiliana na Yanga na kuzichukua alama zote tatu na kuacha heshima nyumbani.“Tunataka kuwa timu ya kwanza kuifunga Yanga msimu huu.

PICHA NA Lunyamadizo Mlyuka

SOMA NA HII  WAAMUZI WATAKIWA KUTIMIZA MAJUKUMU KWA WELEDI