Home Yanga SC NYOTA WA YANGA KAMILI GADO KURUDI UWANJANI

NYOTA WA YANGA KAMILI GADO KURUDI UWANJANI


KIUNGO mshambuliaji wa Yanga Saido Ntibazonkiza ameanza mazoezi na kikosi cha timu ya Taifa ya Burundi yakiwa ni maandalizi kuelekea mechi za kuwania kufuzu Afcon 2021 zitakazopigwa mwishoni mwa mwezi huu


Kurejea kwa nyota huyo ni ishara kuwa amepona majeraha yaliyomuweka nje tangu mwezi Januari mwaka huu


March 26 Burundi itakuja Tanzania kucheza mchezo wao dhidi ya Afrika ya Kati


Serikali ya Tanzania imeiruhusu Burundi kutumia uwanja wa Benjamin Mkapa katika mchezo huo

SOMA NA HII  CARLINHOS AWAHISHWA HOSPITALI FASTA