Home Yanga SC BREAKING: MWENYEKITI MSOLLA AVUNJA UKIMYA, KOCHA YANGA KUFUKUZWA

BREAKING: MWENYEKITI MSOLLA AVUNJA UKIMYA, KOCHA YANGA KUFUKUZWA

  


 MWENYEKITI wa Yanga, Mshindo Msolla, amevunja ukimya na kuita waandishi wa habari kuzungumzia masuala mbalimbali kuhusu Yanga, ikiwemo mashabiki kumtaka ajiuzulu.

SOMA NA HII  BAADA YA KUTOPEWA NAFASI...MUKOKO SHINDWA KUJIZUIA YANGA...AFUNGUKA ANAYOPITIA...