epl

BREAKING: JOSE MOURINHO AFUTWA KAZI SPURS

admin April 19, 2021 9:47 am


BREAKING: Jose Mourinho aliyekuwa Kocha Mkuu wa Tottenham Spurs amefutwa kazi rasmi leo Aprili 19.

Kocha huyo alijiunga na Spurs akichukua mikoba ya Mauricio Pochentino ambaye kwa sasa anaifundisha Klabu ya PSG.

Baada ya kuibuka ndani ya Spurs alianza kwa kasi nzuri ila ghafla mambo yakawa magumu kwake kwa timu hiyo kushindwa kupata matokeo kwenye mechi zake za Ligi Kuu England pamoja na mechi nyingine za ushindani.

 
PERFECT CHIKWENDE WA SIMBA ATAJA TUZO ANAYOITAKA BONGO SIMBA YATAMBIA NA REKODI YAO CAF, HESABU ZAO ZIMECHORWA NAMNA HII

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply