Yanga SC

YANGA YAINGIA MAKUBALIANO YA USHIRIKIANO NA KLABU YA RAJA CASABLANCA YA MOROCCO

admin April 21, 2021 5:48 pm


 KLABU ya Yanga leo Aprili 21 i
meingia kwenye mkataba wa makubaliano ya ushirikiano na Klabu ya Raja Club Athletic ya nchini Morocco.


 Ushirikiano huu ambao wameingia Yanga utahusisha masuala mbalimbali ya maendeleo baina ya klabu hizi mbili zenye historia kubwa Barani Afrika.

Klabu ya Raja kwa sasa ipo ardhi ya Bongo ambapo leo ilikuwa na kazi ya kusaka pointi tatu mbele ya Namungo FC, Uwanja wa Mkapa.

Ikiwa ipo hatua ya makundi imeshinda kwa mabao 3-0 dhidi ya Namungo na kusepa na pointi tatu mazima.





SIMBA YASEPA NA POINTI TATU ZA KAGERA SUGAR GOMES: NINAIJENGA SIMBA YA MISIMU MINNE IJAYO

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply