Home Ligi Kuu MSIMAMO WA LIGI KUU BARA, SIMBA YAISHUSHA YANGA

MSIMAMO WA LIGI KUU BARA, SIMBA YAISHUSHA YANGA

 


MSIMAMO wa Ligi Kuu Bara iliwa ni mzunguko wa pili,  Simba imeishusha Yanga namba moja na kukaa kileleni baada ya ubao kusoma Gwambina FC 0-1 Simba, Uwanja wa Gwambina Complex 


SOMA NA HII  PANGA KUBWA LAPITA POLISI TANZANIA, 13 WAPIGWA CHINI