Home Yanga SC SAUTI: GSM WABAINISHA KWAMBA WANAIPA THAMANI YANGA

SAUTI: GSM WABAINISHA KWAMBA WANAIPA THAMANI YANGA

SAUTI ya Injinia Hersi Said kutoka Kampuni ya GSM ambao ni wadhamini wa Klabu ya Yanga akibainisha eneo ambalo wao ni bora kuliko timu nyingine na ameweka wazi kwamba wanaipa thamani Yanga.

 

SOMA NA HII  HIVI NDIVYO MORRISON ALIVYOZIGEUZA SIMBA NA YANGA KUWA KITEGA UCHUMI CHAKE..AKOMBA NUSU BILIONI KILAIINI...