ALLY Kamwe mchambuzi wa masuala ya michezo amesema kuwa kupoteza kwa Yanga mbele ya Azam FC kwa kufungwa bao 1-0 ni somo kwao huku akiweka wazi kwamba suala la ubingwa kuwa kimahesabu bado lipo wazi kusema kwamba mbio za ubingwa limeisha, huku akiweka wazi kwamba Simba wamekuwa na jitihada ndani na nje ya uwanja