Home Yanga SC MZEE WA UTOPOLO ANAFUNGUKIA MECHI YA SIMBA V YANGA

MZEE WA UTOPOLO ANAFUNGUKIA MECHI YA SIMBA V YANGA

0

KUELEKEA mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Simba v Yanga, shabiki wa Yanga Mzee wa Utopolo anazungumza namna watakavyowafanya wapinzani hao wanaonolewa na Kocha Mkuu, Didier Gomes.