Home Simba SC SIMBA: TUNAWATAKA YANGA TUWAFUNGE 4

SIMBA: TUNAWATAKA YANGA TUWAFUNGE 4

BAADA ya mchezo wa Simba na Yanga kughairishwa jana, Mei 8, mashabiki wa Simba wamesema kuwa hawahitaji pointi za mezani ila wanahitaji wacheze na Yanga ili wawachezee pira biriani. 

 

SOMA NA HII  KUHUSU SIMBA KUMSAJILI MAYELE....AHMED ALLY KAIBUKA NA JIPYA HILI...AGUSIA KUSEPA KWA BALEKE..