CAF

KIKOSI BORA CHA WIKI CAF, BOCCO, LUIS NDANI

admin May 23, 2021 12:47 pm


 

KIKOSI bora cha wiki Ligi ya Mabingwa Afrika,katika hatua ya robo fainali kimetolewa ambapo  nyota watano wa kikosi cha Simba wametajwa.

Licha ya kwamba kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Mkuu, Didier Gomes na msaidizi wake ni Seleman Matola kuishia hatua hiyo.

Wachezaji ambao wametajwa ni pamoja na John Bocco, Clatous Chama, Mohamed Hussein, Shomari Kapombe na Luis Miquissone.


LEO NI BIASHARA UNITED V NAMUNGO MASTAA KAIZER WAWEKA REKODI KWA MKAPA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply