SHABIKI maarufu wa Simba, Aggy Simba amesema kuwa walikuwa kwenye presha kubwa jana wakati wapinzani wao Namungo wakiongoza kwa ushindi wa bao 1-0 ndani ya dakika 45. Aggy amesema kuwa bao la Morrison ni bao la msimu kwa kuwa ni bao zuri na linafungwa na wachezaji ambao wanatoka ndani ya kikosi cha Simba akiamini kwamba litamrudisha mchezaji huyo kwenye mchezo