video

OSCAR: TFF WANAJUA KILA KITU KUHUSU MORRISON,YANGA KUGOMEA MECHI NI SUALA LA HOVYO

admin June 5, 2021 11:47 am


OSCAR Oscar mchambuzi wa masuala ya michezo amesema kuwa Yanga wanahaki ya kuifuatilia kesi yao ya Bernard Morrison kwa kuwa wao wanaamini kwamba ni mchezaji wao.


 Pia amesema kuwa Shirikisho la Soka Tanzania, (TFF) linajua kwamba kama Morrison alikuwa na mkataba na Yanga ama hana hivyo wao walipaswa kutusaidia tangu awali kuhusu suala la mkataba wa mchezaji huyo.

 

AZAM FC KUMENYANA NA COASTAL UNION LEO KATWILA: NIMEWAAMBIA WACHEZAJI KWAMBA KUNA KAZI YA KUFANYA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply