video
VIDEO: PART 2: MWAKALEBELA AIANGUKIA TFF, AKUBALI MATOKEO
SEHEMU ya pili ya mahojiano ya Fredrick Mwakalebela ambaye ni Makamu Mwenyekii wa Yanga kwa sasa amefungiwa kwa muda wa miaka mitano na Shirikisho la Soka Tanzania, (TFF) kutokana na makosa ambayo waliyaeleza kuwa ni pamoja na kutoa shutuma kwa waendeshaji wa mpira, pamoja na ishu ya mkataba wa kiungo wa Simba, Bernard Morrison, Mwakalebela amesema kuwa alikosea anaomba msamaha
Leave a Reply
You must be logged in to post a comment.