news

MGOMBEA MWINGINE TFF ACHUKUA FOMU LEO

admin June 9, 2021 11:47 am


LAMECK Nyambaya leo Juni 9 amechukua fomu za kugombea nafasi ya Kamati ya Utendaji ndani ya Shirikisho la Soka Tanzania, (TFF).

Nyambaya ni Mwenyekiti wa Chama cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Dar es Salaam, (DRFA).

Aliambatana na Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya DRFA ambaye ni mchambuzi wa soka, Shaffih Dauda aliyevaa miwani pichani.

Zoezi la utoaji fomu kwa wagombea uongozi TFF lilianza hana Juni 8 ambapo uchaguzi unatarajiwa kufanyika Agosti 7, 2021.

Fomu kwa wagombea inapatikana kupitia tovuti ya TFF na mwisho wa kuchukua na kurejesha fomu ni Juni 12 saa 10 jioni.

MKUDE YUPOYUPO SANA SIMBA, MKATABA WAKE BADO UNAISHI SURE BOY AGOMEA KUONGEZA MKATABA, KISA YANGA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6260

Leave a Reply