video
VIDEO: MZEE MPILI WA YANGA AGOMEA MECHI YA JULAI 3, TFF YAPIGWA MKWARA
MZEE Mpili shabiki wa Yanga amesema kuwa Yanga haina tatizo kushushwa daraja inaweza kwenda Unguja kucheza mpira huku wakiweka wazi kwamba hawapo tayari kucheza mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Simba unaotarajiwa kuchezwa Julai 3, Uwanja wa Mkapa.
Leave a Reply
You must be logged in to post a comment.