video
VIDEO: SHABIKI WA SIMBA AMTUMIA UJUMBE MORRISON, ATAKA ASIWAVURUGE
SHABIKI wa Simba amefunguka kuwa nyota wao Bernard Morrison asiwapande kichwani kutokana na kitendo ambacho alichokifanya baada ya kutaka kufanyiwa mabadiliko na mwisho wa siku akaingia Hassan Dilunga.
Simba leo ilikuwa na kibarua mbele ya Polisi Tanzania na baada ya dakika 90, ubao wa Uwanja wa CCM Kirumba ulisoma Polisi Tanzania 0-1 Simba.
Leave a Reply
You must be logged in to post a comment.