video

VIDEO: NYONI ABAINISHA KWAMBA WALITAMBUA KUWA MCHEZO UTAKUWA NGUMU,

admin June 27, 2021 8:47 am


NYOTA wa Simba, Erasto Nyoni amesema kuwa walikutana na timu nzuri kwenye mchezo wao waliocheza jana Uwanja wa Majimaji mbele ya Azam FC huku akiweka wazi kwamba walitarajia kuwa mchezo utakuwa mgumu.


  Kuhusu fainali ambayo watakutana na Yanga hiyo amesema ipo. Kuhusu bao ambalo walifuga Simba kupitia kwa Luis Mquissone amesema kuwa waliongeza umakini jambo lililowafanya waweze kufunga. 

 

EURO 2020, UBELGIJI V URENO KITAWAKA LEO MSIMAMO WA LIGI KUU TANZANIA BARA UPO NAMNA HII KWA SASA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply