KOCHA Mkuu wa Klabu ya Simba, Didier Gomes ameweka wazi kwamba mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Yanga unaotarajiwa kuchezwa Julai 3 Uwanja wa Mkapa utakuwa kama fainali kwa kuwa wanahitaji pointi tatu ili kuweza kuwa mabingwa wa Ligi Kuu Bara msimu wa 2020/21.