MASAU Bwire, Ofisa Habari wa Ruvu Shooting amesema kuwa ameumizwa na matokeo ya kufungwa mabao 3-0 dhidi ya Simba na anahitaji muda zaidi ili kuweza kutafakari na kupata majibu kupitia kwenye kamusi ya kiswahili kwa kuwa wameparurwa sana, ameongeza pia ameumizwa na mazingira ya kadi mbili nyekundu ambazo wamezipata.