METACHA Mnata, kipa namba moja wa Yanga jana Juni 17 aliweza kuwatukana mashabiki wa Yanga jambo ambalo limefanya uongozi umsimamishe kwa muda usiojulikana.
METACHA Mnata, kipa namba moja wa Yanga jana Juni 17 aliweza kuwatukana mashabiki wa Yanga jambo ambalo limefanya uongozi umsimamishe kwa muda usiojulikana.