news

TAARIFA MBAYA; WACHEZAJI WA POLISI TANZANIA 16 WAMEUMIA, ORODHA HII HAPA

admin July 9, 2021 3:47 pm


 TAARIFA ambayo ni mbaya kwa ulimwengu wa michezo leo, Julai 9 ni kuhusu ajali waliyopata wachezaji wa timu ya Polisi Tanzania inayoshiriki Ligi Kuu Bara.
Taarifa iliyotolewa na Ofisa Habari wa timu hiyo, Hassan Juma imeeleza namna hii:Leo majira ya saa 11:00 asubuhi timu ya Polisi Tanzania imepata ajali wakati ikitoka mazoezini kwenye uwanja wa TPC uliopo kwenye Kiwanda cha sukari TPC Moshi na kupelekea majeruhi kwa wachezaji 16 ambao ni
1. Gerald Mdamu – amevunjika miguu yote miwili
2. Abdullazizi Makame
3. Pius Buswita
4. Daruweshi Saliboko
5. Deusdedity Cosmas
6. Salum Ally
7. Abdulmaliq Adam
8. Idd Mobby
9. Marcel Kaheza
10. Shabani Stambuli
11. Yahaya Mbegu
12. Datusi Peter
13. Mohammed Bakari
14. Mohammed Yusuph
15. Kassim Haruna
16. Christopher John
17. George Mketo – dereva
18. Vicente Ngonyani – dereva

Wachezaji wote hawa wapo KCMC wakiendelea na uchunguzi wa daktari, chanzo cha ajali kinachunguzwa.

Mungu awalinde na kuwapa afya wachezaji wote, pia salamu kutoka timu mbalimbali zimekuwa zikitumwa ikiwa ni pamoja na Simba, Yanga, Azam FC, Tanzania Prisons.

POLISI TANZANIA WAPATA AJALI WAKITOKA MAZOEZINI VIDEO: MKWANJA WA YANGA BILIONI 34.8 KUSHUSHA VIFAA VYA MAANA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply