video

VIDEO: KOKOLANYA ATAJA ANACHOKIFANYA AKIWA BENCHI, AZUNGUMZIA FAINALI

admin July 12, 2021 5:47 am

KIPA namba mbili wa Simba, Beno Kakolanya amesema kuwa anapokosa nafasi wakati akiwa benchi yeye yule ambaye anaanza ni sawa na yeye kuanza huku akiweka wazi kwamba kiwango chake kipo palepale.


 Pia amezungumzia fainali yao ijayo ambayo ni Kombe la Shirikisho Mungu akijalia wanaweza kwenda kuchukua ubingwa. Katika Kombe la Shirikisho Simba inatarajia kucheza na Yanga, Kigoma, Julai 25.

 

ITALIA MABINGWA WA EURO 2020 SIMBA, TUNABEBA MAKOMBE, MZEE MPILI HACHEZI

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply