video

VIDEO: KISA SIMBA FEI TOTO APEWA MKOKO MPYA

admin July 15, 2021 4:47 am

NYOTA wa Yanga, Fei Toto inaelezwa kuwa amepewa ndiga mpya na bosi wa Yanga baada ya kiungo huyo kuonyesha kiwango kikubwa kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara mbele ya Simba, Julai 3 ambapo Yanga iliibuka na ushindi wa bao 1-0 lililofungwa na Zawad Mauya.

 

MESSI KUBAKI BARCELONA KWA MIAKA MITANO ZAIDI MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA SPOTI XTRA ALHAMISI

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply