OFISA Habari wa Simba, Haji Manara amesema kuwa hawawezi kufungwa mbele ya Yanga mara mbili.
Kuelekea kwenye mchezo wa fainali dhidi ya Yanga unaotarajiwa kuchezwa Julai 25 wamebainisha kuwa watashinda fainali kwa ushindi.Ameweka wazi kwamba Mzee Mpili hachezi.