MASHABIKI wamejitokeza kwa wingi Uwanja wa Mkapa kushuhudia mchezo wa ligi kati ya Simba na Yanga unaotarajiwa kuchezwa majira ya saa 11:00 jioni.
MASHABIKI wamejitokeza kwa wingi Uwanja wa Mkapa kushuhudia mchezo wa ligi kati ya Simba na Yanga unaotarajiwa kuchezwa majira ya saa 11:00 jioni.