Simba SC

SIMBA YAMCHOMOA MWINGINE KAGERA SUGAR, AJIFUNGA MIAKA MITATU

admin August 17, 2021 2:43 pm


NYOTA Abdul Swamad leo Agosti 17 ametambulishwa kuwa mali ya Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Didier Gomes. 

Nyota huyo anayecheza pia timu ya taifa ya Zanzibar Heroes alikuwa anakipiga ndani ya Kagera Sugar.

Anakuwa nyota wa pili kusaini Simba akitokea Mtibwa Sugar baada ya Yusuph Mhilu naye ambaye alikuwa anacheza Kagera Sugar kusaini.

Wote wawili wamesaini dili la miaka mitatu kuitumikia timu hiyo ambayo imeweka kambi Morocco.

BARCELONA YAINGIA ANGA ZA ARSENAL KUMSAKA AUBA KOCHA GOMES, MWENDO WA PASI TATU BAO

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply