KMC FC

KMC NA WAO WAMO BWANA… WASHUSHA KIFAA HIKI MATATA KUTOKA MOROCCO

admin August 21, 2021 2:24 pm


BEKI Nickson Kibabage aliyekuwa akikipiga klabu ya Difaa El Jadida ya Morocco anatajwa kujiunga na KMC baada ya kumalizana na mabosi zake wa zamani kwa makubaliano ya kuvunjiana mkataba.

Inaelezwa mabosi wa KMC chini ya Katibu Mkuu, Walter Harrison

wamekamilisha dili hilo mapema kwa lengo la kuziba nafasi ya David Bryson aliyetimkia ya Yanga na kusaini mkataba wa miaka miwili.

PAMOJA NA CORONA, FAMILIA WAITAJA MECHI YA SIMBA VS YANGA CHANZO CHA KIFO MWL KASHASHA PAMOJA NA UWEZO MKUBWA..JOASH ONYANGO NAYE ATEMWA…MAJEMBE HAYA KUCHUKUA NAFASI YAKE

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply