Home news WACHEZAJI WA SIMBA NA YANGA KURUDI BONGO KWA NDEGE MOJA..SABABU HIZI HAPA

WACHEZAJI WA SIMBA NA YANGA KURUDI BONGO KWA NDEGE MOJA..SABABU HIZI HAPA


Baadhi ya nyota wa Simba na Yanga leo Agosti 23 wamegongana uwanja wa  ndege wa Mohamed V uliopo jijini Casablanca, Morocco na wote wanarudi na ndege moja.

Wachezaji hao wengine ni wale ambao wameitwa kutumikia timu za taifa katika mechi za kufuzu Kombe la Dunia 2022.

SOMA NA HII  KIPA LA KIMATAIFA ALIA KUKOSA NAFASI YA KUSAJILIWA YANGA....'ANG'ATA ULIMI' KWA KAZE NA NAMNA ALIVYOFUKUZWA...