video

VIDEO: KOCHA YANGA ANAAMINI KUNA JAMBO AMELIPATA, SAIDO ATUMA UJUMBE

admin August 25, 2021 5:43 am

KIUNGO wa Yanga, Said Ntibanzokiza, ‘Saido’ amesema kuwa mashabiki wa timu hiyo watarajie mambo mazuri kutoka kwa timu hiyo kwa msimu mpya wa 2021/22 huku Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi akiweka wazi kwamba kuna mambo alikuwa anafuatilia nchini Morocco na anaamini kuna jambo ambalo wamelipata


Jana Agosti 24 Yanga walirejea kutoka nchini Morocco ambapo waliweka kambi kwa muda mfupi ikiwa ni maandalizi ya msimu mpya.

 

KIKOSI CHA KWANZA CHA SIMBA MSIMU MPYA 2021/22 VIDEO: HAJI MANARA ATANGAZA VITA SIMBA,APANIA KUIA SIMBA,KESI YA MORISSON YAFUNIKWA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply