Home Simba SC BANDA AINGIA ANGA ZA WANAOLIPWA MKWANJA MREFU BONGO

BANDA AINGIA ANGA ZA WANAOLIPWA MKWANJA MREFU BONGO


 KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Peter Banda anaigia kwenye rekodi ya nyota wanaokomba mshahara mrefu kwa mwezi kwa wachezaji.

Bei yake inatajwa kuwa kwa mwezi anavuta shilingi dola 5000 zaidi ya shilingi milioni 11.

Huyo ni ingizo jipya kutoka Big Bullets ya Malawi awali alikuwa anatajwa kuingia anga za Yanga ila ghafla mambo yalibadilika akaibukia ndani ya Simba.

Ni miongoni mwa nyota wapya ambao wamejumuika na Simba kwenye msafara ulioelekea nchini Morocco kwa ajili ya kambi ya msimu mpya wa 2021/22.


SOMA NA HII  GOAL LA LUIS MIQUISSONE LAMFANYA RAIS WA AL AHLY KUCHUKUA UAMUZI HUU..!!