Staff Desk
ZAHERA HUYU HAPA AMETUA NAMUNGO
                Klabu ya Namungo imemtambulisha Mwinyi Zahera kuwa kocha mkuu wa timu hiyo.
Namungo kutokea mkoani Lindi ilikuwa inanolewa na kocha Denis Kitambi ambaye ametimkia Geita...            
            
        SINGIDA FG WAMUANDHIBU FEI TOTO…. SIO POA
                Klabu ya Singida Fontaine Gate imewaadhibu vinara wa Ligi Kuu Zanzibar, JKU FC ya Zanzibar jumla ya magoli 4-1 katika mchezo wa kombe la...            
            
        MWAMBA KAGOMA KUSEPA NANI ATOKE SIMBA !?
                Klabu ya Simba kwenye dirisha hili la usajili inahitaji kufanya maboresho kwa kufanya maingizo ya nyota wapya wa kigeni watakaokuja kuongeza nguvu kwenye kikosi...            
            
        KISA MKATABA SAIDO AWAGOMEA VIGOGO SIMBA
                Kiungo Mshambuliaji kutoka nchini Burundi Saidi Ntibanzokiza 'Saido' amegomea mkataba wa mwaka mmoja, huku akiutaka Uongozi wa Simba SC kumpa mkataba wa miaka miwili.
Saido...            
            
        KOCHA TAIFA STARS ALIVYOAMUA KUBADILI UPEPO KAMA UTANI
                Zimebaki siku chache sana kabla ya kuanza kwa fainali za mataifa ya Afrika (AFCON) ambazo zitafanyika huko Ivory Coast, mwakani kuanzia Januari 13 hadi...            
            
        SANKARA AFUNGUKA KILA KITU KUHUSU YANGA
                Mshambuliaji wa Asec Mimosas, Karamoko Sankara hatimaye amefunguka dili lake na Yanga huku akisema kuwa amekuwa akiwapigia simu wachezaji wa sasa wa Yanga, Pacome...            
            
        MWAMBA HUYU HAPA ASAINI MIAKA MIWILI
                Winga wa zamani wa Simba, Augustine Okrah sasa ni rasmi ametua Yanga, huku taarifa za ndani zikidaikuwa amesaini mkataba wa miaka miwili kuitumikia timu...            
            
        GAMONDI ATUMIA DIRISHA DOGO KUWANYOOSHA MASTAA YANGA
                Kocha Mkuu wa Young Africans Miguel Gamondi amewatega wachezaji wake kwa kuwaambia kuwa mchezaji atakayeshindwa kuonyesha kiwango bora katika Kombe la Mapinduzi, basi safari...            
            
        DEAL DONE…… OKRAH NI MWANANCHI
                Habari mwanamichezo mwenzangu kutoka Dar es salaam leo ni asubuhi nyingine nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika magazeti ya michezo            
            
        YAYA AJA NA UTABIRI HUU USHINDI AFCON
                Kiungo wa zamani wa Barcelona na Man City, Yaya Touré atoa utabiri wake wa Timu za Taifa zenye nafasi ya kushinda kombe la Mataifa...            
            
        