Home Authors Posts by Staff Desk

Staff Desk

1810 POSTS 0 COMMENTS

ZAHERA HUYU HAPA AMETUA NAMUNGO

0
Klabu ya Namungo imemtambulisha Mwinyi Zahera kuwa kocha mkuu wa timu hiyo. Namungo kutokea mkoani Lindi ilikuwa inanolewa na kocha Denis Kitambi ambaye ametimkia Geita...

SINGIDA FG WAMUANDHIBU FEI TOTO…. SIO POA

0
Klabu ya Singida Fontaine Gate imewaadhibu vinara wa Ligi Kuu Zanzibar, JKU FC ya Zanzibar jumla ya magoli 4-1 katika mchezo wa kombe la...

MWAMBA KAGOMA KUSEPA NANI ATOKE SIMBA !?

0
Klabu ya Simba kwenye dirisha hili la usajili inahitaji kufanya maboresho kwa kufanya maingizo ya nyota wapya wa kigeni watakaokuja kuongeza nguvu kwenye kikosi...

KISA MKATABA SAIDO AWAGOMEA VIGOGO SIMBA

0
Kiungo Mshambuliaji kutoka nchini Burundi Saidi Ntibanzokiza 'Saido' amegomea mkataba wa mwaka mmoja, huku akiutaka Uongozi wa Simba SC kumpa mkataba wa miaka miwili. Saido...

KOCHA TAIFA STARS ALIVYOAMUA KUBADILI UPEPO KAMA UTANI

0
Zimebaki siku chache sana kabla ya kuanza kwa fainali za mataifa ya Afrika (AFCON) ambazo zitafanyika huko Ivory Coast, mwakani kuanzia Januari 13 hadi...

SANKARA AFUNGUKA KILA KITU KUHUSU YANGA

0
Mshambuliaji wa Asec Mimosas, Karamoko Sankara hatimaye amefunguka dili lake na Yanga huku akisema kuwa amekuwa akiwapigia simu wachezaji wa sasa wa Yanga, Pacome...

MWAMBA HUYU HAPA ASAINI MIAKA MIWILI

0
Winga wa zamani wa Simba, Augustine Okrah sasa ni rasmi ametua Yanga, huku taarifa za ndani zikidaikuwa amesaini mkataba wa miaka miwili kuitumikia timu...

GAMONDI ATUMIA DIRISHA DOGO KUWANYOOSHA MASTAA YANGA

0
Kocha Mkuu wa Young Africans Miguel Gamondi amewatega wachezaji wake kwa kuwaambia kuwa mchezaji atakayeshindwa kuonyesha kiwango bora katika Kombe la Mapinduzi, basi safari...

DEAL DONE…… OKRAH NI MWANANCHI

0
Habari mwanamichezo mwenzangu kutoka Dar es salaam leo ni asubuhi nyingine nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika magazeti ya michezo

YAYA AJA NA UTABIRI HUU USHINDI AFCON

0
Kiungo wa zamani wa Barcelona na Man City, Yaya Touré atoa utabiri wake wa Timu za Taifa zenye nafasi ya kushinda kombe la Mataifa...
329,001FansLike
12,344FollowersFollow
16,900SubscribersSubscribe

EDITOR PICKS