KADIMA Kabangu anatajwa kuibukia ndani ya kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Didier Gomes kwa ajili ya msimu ujao wa 2021/22 ambapo yeye mwenyewe amesema kuwa anakuja kukiwasha.
KADIMA Kabangu anatajwa kuibukia ndani ya kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Didier Gomes kwa ajili ya msimu ujao wa 2021/22 ambapo yeye mwenyewe amesema kuwa anakuja kukiwasha.