Azam FC

AZAM FC WAMPA DILI LA MWAKA MMOJA BEKI MCAMEROON

admin September 1, 2021 4:44 am


KIKOSI cha Azam FC kilifunga dirisha la usajili kwa ajili ya msimu wa 2021/22 katika Ligi Kuu Bara pamoja na Kombe la Shirikiho na mashindano mengine ambayo watashiriki.

 Ni usajili wa beki wa kati raia wa Cameroon, Yvan Lionnel Mballa alifunga usajili kwa timu hiyo ambayo imeweka kambi nchini Zambia.

Ni dili la mwaka mmoja kasaini beki huyo akitokea Klabu ya Forest Rangers ya Zambia.

Mballa amefunga zoezi la usajili kwenye dirisha lililofungwa usiku wa Agosti 31.

SIMBA: BEKI MPYA WA SIMBA HATARI, ANATUMIA MIGUU YOTE SIMBA KUTAMBULISHA UZI MPYA LEO

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply