Home video MAKAMBO:SIMBA NI TIMU KUBWA, HAYA NI MATOKEO

MAKAMBO:SIMBA NI TIMU KUBWA, HAYA NI MATOKEO

272
0

HERITIER Makambo, mshambuliaji wa Yanga amesema kuwa wanawaheshimu Simba kwa kuwa ni moja ya timu kubwa na wanaamini kwamba kupoteza kwao ni sehemu ya matokeo. Jana Simba ilipoteza kwa kufungwa bao 1-0 katika mchezo wa Ngao ya Jamii.