Azam FC
NDEGE YA ARDHINI MALI YA AZAM FC IPO PANDE ZA MBEYA
BASI jipya la kisasa la Azam FC kwa sasa lipo Mbeya taratibu likiwa njiani kuibukia Dar es Salaam.
Ndinga hiyo mpya ambayo ni moja ya basi matata ni kwa ajili ya matumizi ya timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, George Lwandamina kwa msimu mpya wa 2021/22.
Leave a Reply
You must be logged in to post a comment.