video

MASHABIKI KUTOKA ULAYA WATAJA SABABU YA KUIPENDA YANGA

admin October 11, 2021 7:43 am

MASHABIKI wa Yanga kutoka Ulaya ambao walikuwa Uwanja wa Mkapa Oktoba 10 wakati Yanga ikishinda bao 1-0 mbele ya JKU SC wamebainisha sababu za kuipenda timu hiyo, ni mmoja kutoka Denmark ambaye aliweka wazi kuwa anaipenda Yanga na mchezaji ambaye anamtambua ni Farid, (Mussa) huku kwa upande wa Simba ikiwa hakuna mchezaji ambaye anamtambua, mwingine alikuwa anatoka Marekani ambaye aliweka wazi kwamba anaipenda Yanga.

 

KIPA ALIYETUNGULIWA NA MAYELE ATAJA SABABU ZA KUFUNGWA YANGA:TIMU KUBWA HAZISHINDI MABAO MENGI

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply