Azam FC
MASHABIKI RUKSA AZAM FC v PYRAMIDS FC KESHO
KUELEKEA mchezo wa kesho wa Kombe la Shirikisho unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa AzM Complex kati ya Azam FC v Pyramids ya Misri mashabiki ruksa kuutazama.
Awali mashabiki hawakupewa nafasi kwa ajili ya kushuhudia mchezo huo ila taarifa iliyotolewa leo Oktoba 15 imeeleza kuwa mashabiki 2,000 wameruhusiwa
Leave a Reply
You must be logged in to post a comment.