KUELEKEA mchezo wa kesho wa Kombe la Shirikisho unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa AzM Complex kati ya Azam FC v Pyramids ya Misri mashabiki ruksa kuutazama.
Awali mashabiki hawakupewa nafasi kwa ajili ya kushuhudia mchezo huo ila taarifa iliyotolewa leo Oktoba 15 imeeleza kuwa mashabiki 2,000 wameruhusiwa